Katika Bustani ya Edeni, nyoka “alimdanganya” Hawa akala kipande cha tunda. Alikila kisha akampa mumewe, jambo ambalo liliwafanya watambue walikuwa uchi. Je! ni nyoka wa namna gani anayeweza kuzungumza, na kipande cha tunda kina uhusiano gani na kuwa uchi?