Marko 16:16

Aaminiye Na Kubatizwa Ataokoka; Asiyeamini, Atahukumiwa.


Matendo 2:38

Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa Jina Lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.